Siku chache tu baada ya kuibua mjadala mkali kote nchini Tanzania kuhusu msimamo wake kuhusiana na uamuzi wa benki ya dunia kuahirisha kupiga kura juu ya mkopo wa dola milioni 500 kwa Tanzania zilizokuwa zikilenga miradi mbalimbali ya elimu.
Mbunge na kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, amemueleza mwandishi wetu Zuhura Yunus kuwa upinzani umejizatiti kakabili utawala na kulinza ushindi wao katika uchaguzi mkuu ujao.
#ZittoKabwe
#Uchaguzi2020
#Tanzania
@maisatou4 years agoZito amepeleka bungeni matatizo gani yanayoyakabili kule kwao kigoma ambayo yamewasaidia? Nakumbuka ameweka taa za nguvu ya jua, katika kiumbe kinachoishi( acheni mchezo na mapambano. Mwezi wa jana wamefukua mifupa 60/70 burundi na wale walioanzisha mauaji wengi wako ulaya. Jee tukikubali wanasiasa haswa wapinzaniwapi? Wazee, watoto na wakina mama na mabibi zetu wataangaliwa na nani? Wanaokuja kuanzisha fujo wana kwao, what about you. a. R. Msimbazy. ...Expand
@
@ramadhanikhaji8004 years agoWe ulisikia wapi mzungu akataka nchi yenu iwe na maendeleo? Ukiona jambo kama hili linatokea basi jua kua wameshaona mlicho nacho nakina faida kwao. Hivyo. ...Expand4
@
@allenuswege13124 years agoThe genius wa tanzania nchi yetu n waoga sana hawana uhuru wa kuongea na uhuru wa kusikizwa haupo kabisa nchi imeharibiwa na ccm zito tunakukubali sana. ...Expand11
@
@gracemima52344 years agoZitto kabwe, rais magufuli sio size yako. Ulizowea kumutisha rais kikwete kwa upole wake akikuunganisha na safari zake za ulaya, hizo dili hazipo kwa rais. ...Expand
@
@princeholy25364 years agoI' m appreciate zitto yuko correct anachosema. 3
@
@MrLemunge4 years agoUnafaa sana hata kuwa raisi wa nchi hii. 4
@
@deograsiamgeni57164 years agoHongera zitto unajibu maswali kwa uvumilivu na ujadili, ningehojiwa hivyokitambo. 9
@
@bashibashiphotographer38744 years agoCcm wameumia sana kanakwamba hawaon wimbi la watoto wa mtaan wakizidi kuongezeka tukutane uchaguzi mkuu. 6
@
@saidpara74944 years agoWakati mwingine tuwe tunamsikiliza mtu vizuri. Sio kila anaeikosoa serikal aonekane mbaya. Sina chama. 6
@
@issackchalahani12354 years agoCcm mwisho kushinda nafasi ya urais na viti vingi bungeni ilikuwa mwaka 2005, baada ya hapo wanaishi kwa pumzi ya nec na dola. 17
@
@comfortjaffer35414 years agoZito mwenyewe anashiba anataka sisi tulale na njaa. 1
@
@peterfaustus78584 years agoNakukuba xana brother una upeo mkubwa xana. 5
@
@pauljoseph18004 years agoMimi ni mwana ccm lakini huyu jamaa anajua sana. Hizi ni talanta chache ambazo nchi inatakiwa kuzilinda kwa gharama yoyote. 18
@
@nurdinjumbe88154 years agoNimemsikiliza vizur zito kabwe jamaa yuko sawa kichwan yaan huyu ni zito mmoja ni sawa na wana cm wote tanzania. 14
@
@smturky24064 years agoNimependa iyo point uchumi ni wa serikali sio wa wananchi. 1
@
@nailamohd76934 years agoMahojiano mafupi halafu mazur asante da zuhra. 7
@
@abdulkuluwia65254 years agoUhuru amna akat kila siku wanaita ma press confrence. 2
@
@rkplatnumzrkplatnumz45424 years agoKiukweli huyu jamaa anaendana na jina lake yani ni zitto kweli. 2
@
@youngdreamertz7314 years agoHata wew ungekuwa kiongozi wa juu leo swala la ajira usingelimaliza kwa asilimia 100% coz hata marekani na mataifa makubwa bado wanawatu ambao hawana kazi, ila mengineyo nakuunga mkono 100%
@
@dubais90184 years agoAsante kaka zitto kwa kuwafafanulia vizur hawa ccm vichwa maji. Wanajiamin kwa kutumia dolla pasi na dolla ccm haina uwezo wowote. 2
@
@barakanun66524 years agoUkimsikiliz mwanzo mwisho zitto utaelewa anachokisema. Lakin kam unaangalia misambwanda utaishia kubisha 2. 4
@
@omakywazamani66964 years agoDada yangu mwabiye sisi watu wa zanzibar tumechoka naukadamizi wabara tunataka tuwe huru bila tabia zao chafu wabara tumechokanao wallah sio watu wazuri lalaunono dada yangu. 3
@
@selemanimashaka3714 years agoAnaye mtusi zitto ni muharibufu na piya hana uzalendo zitto anacho kizungumza nyeti kabisa. 8
@
@michaelsamson96634 years agoAmebugi kuminya uhuru wa abali namikutano ya kisiasa. 6
@
@maurancechuwa52354 years agoNafurahishwa na kila usemacho. Big up brother, ifike mahala uzalendo uwe ni huru kwa kila mtanzania na sio kunyimwa haki ya kuzungumza. 1
@
@nageplus32264 years agoNami naomba nichangie hapo zito. Mi naona tatizo si kuiondoa ccm madarakani bali tunataka haki, usawa, uhuru na uwazi kwenye sekta zote na si ubabe uvunjwaji. ...Expand1
@
@leandrowilliam79564 years agoAjawai ongea utumbo. Siku zote anaongeaga point. 6
@
@allyrasi35154 years agoKabla yauchaguzi tunataka tume huru kwanza.
@
@daudisayi18944 years agoNakukubali sana zito ila kwa uamzi wako umenikwaza tafuta wakukupa kula mwaka huu siyo mimi. 2
@
@badmanno.16504 years agoZuhurana ccm? Mbona unaegemea upande wao.
@
@maryamambar99814 years agoKawaida tuu ww wao sawa nyote wizii mtujuana wenyewe cc kimywa. 2
@
@anuaryally61774 years agoSiku hadi siku zinavyokwenda sura inaondoka katika ubinadaamu inakuwa ya ngili sasa. 7
@
@abdulrahmansalim97734 years agoIyondeke miaka hamsini ya wizi na haramu. 2
@
@danmsimamo25624 years agoNakubaliana na ww zitto kwamba uchaguzi ukiwa huru na haki ccm tunainawa asubuh tu maan hatuitaki ccm. 5
@
@allysaidy42804 years agoEt zitto ana mtoto? Na kama anaye wakike tukaanze naye hata kama yuko darasa la sita apewe mimba atajisikiaje?
@
@tanzaniakwanza16994 years agoZitto kawaulize usa kwa nini tuhuma za trumpna warusi? 1
@
@officialmbeyaone35724 years agoYaani uyu mpakaa mavi usoni angekua namtoto wakike mzuri mwana funzi mimi ningempa mimba. 1
@
@kibwanakassim77494 years agoDada kakuriza swari zuli sn kwann msimalizane ndan kuliko kutoka inje dada kakuona msalit. 6
@
@heryfonda70604 years agoWatu weng wa ccm akili zaona mishipa ya mav kipi cha uwongo alicho sema. 1
@
@gaudenciaalois47184 years agoYaani umekaa kusema mtangoa ccm tu mnadhani jino hilo eh mtasubiria sana nyie bakini tu kutupa changamoto tu na sio kuingia madarakani. 1
@
@jastonphilipo85324 years agoWe dada mbona unahoji kama umetumwa zito mungu anakuona unajisema vibaya kuwa na akili unakuwa kama mtoto wakati wewe ni mkubwa.
@
@juliasmtobesya50314 years agoZitto umekuwa msaliti. Tunaomba hao watu wa huko nje wakufukunze nchini kwao na waukatae uongo unaowaeleza. Lakini unatakiwa upimwe akili pia.
@
@mako3314 years agoNchi nyingi zina upinzani, hata kenya wana upinzani tena mkali sana, ila sijawahi kusikia upuzi kama huu wakienda kwa mabeberu kuwalilia wale wakoloni. ...Expand
@
@bashibashiphotographer38744 years agoNikweli zitto hali ni ngum sana huku mtaan mikopo imetuvunja kichwa, m-pawa wamekua wapole sasa hivi, ndege hizo anapanda magufuli, na samia mimi naisikia tu halingum sana. 1
@
@jtheophil54994 years agoWakati nakua wazazi wangu walikuwa wakisema ukimuona mwanao au mtoto ,siri za ndani ya familia anakwenda kuzisema kwa jirani ujue uyo kidogo kichwani zimetenguka hapa ndo nnachokiona. .....Expand
@
@suleimankhamis82984 years agoUnco zitto we hizo njuluku ungezichukuwa kwa jina lako haafu ukawatumia watu walioko nchi za nje manake haki ya rabi tumetoka vipara na mvi kwa madeni na bado zisingetosha kulipa madeni yetu. 1
@
@macmillandauz95134 years agoHuyu jamaa anaongea pumba tu kwahyo yuko radhi wachache waliopata mimba kwa upuuzi kwa raha yao wenyewe wawaponze wengi wanaoteseka hawana mikopo vyuoni zitto think twice acha mmbo ya siasa kwa mmbo ya msingi. 1
@
@mozaummy3274 years agoMaisha magum sana makufuli kufuli kweli manake hakuna pesa kabisa maduka yamefungwa yote. 1
@
@ramadhansuluhuhassan70744 years agoUhodari wa zito kabugi masuala zuhra yunus mengi anayolalamika ndio utekelezaji wa ilani ya ccm na yametekelezwa hofu ni fedha kutumika sivo sasa hao benki. ...Expand
@
@hassanimbinga45974 years agoSera za serikali ya awamu ya tano azilengi kuinua maisha ya kila mtanzania apo nmekuata. 1
@
@muracarservice85014 years agoWew umetumia dkk 16 kumsikiliza zitto unasma n muongo nakufananisha n mbwa mkoko wa krokoni. 1
@
@anuaryally61774 years agoHawa ndio wale waliopokelewa mwaka 72 sasa wamebadilika wanajiita watanzania na kuukana uraia wa asilia congo zaire.
@
@estarjuma79834 years agoKwahio unatetea wanawake mbona wako safi tu mtapata tabu sana hata ww ukipewa ndo mtayunyanyasa mabeburu nyie.
@
@anithashembilu77324 years agoMngepewa nchi mngefanya nini? Si mngeiuza? 1
@
@ahmedelalawi61434 years agoCcm hawaangalii nini kimesemwa wanaangalia nani kasema. Kuna wapumbavu wa chama cha ccm wanatoka majukwaani kutukana raiya wake wa tz na kutoa matusi.. ...Expand1
@
@godphreymaganga83344 years agoHivi wewe zito umeona nchi gani africa au africa mashariki imeruhusu ujinga unaoutetea wa kusemesha wazazi ambao tukiruusu wazae itakuwa kila mtu anazalia. ...Expand
@
@rehaniidd29694 years agoMtu waweza kuwa na macho lakini huoni, masikio nausisikie, anaeoma hii nchi niya democrasia atakuwa hama akili.
@
@dareenali60864 years agoWenye akili timam watakufahamu na wasio kufamu ni wale asilimia 1% kwa sababu ndio walio nufaika. Nk. 1
@
@deodatusrwechungura9844 years agoJe kuna kijana anaempinga mr zito juu ya swala la ajira? 2
@
@mpwapwamedia72794 years agoHatuna njaa sisi kama kwenu kuna njaa ungetumia nauli ya kuongea upuuzi kuwalisha hao. 1
@
@ceciliajimmy56524 years agoMimi huwa sicheki sana ccm wanaposema " wataisoma namba " kumbe wao pia wanaisoma namba! Wanaotumbuliwa wote ni ccm, bado kidogo watajua maana ya kuisoma namba. Kwa hiyo baba zitto mungu awe pamoja nawe siku zote. 1
@
@Rashidmhedhery4 years agoMnasema tanzania ni tajiri! Mbona huo mkopo mmeukalia sana, au ni mbwembwe tu! 5
@
@sarahgerald78254 years agoAki ipo upinzani hamunijierewi we ni musariti. 2
@
@dubais90184 years agoWabane hasa wasipewe wakenda fanya kampeni mpaka disemba ndio wapewe. Hizo pesa sasa wasipewe. 3
@
@jtheophil54994 years agoTunataka kuona sura mpya bungeni. Tulia leta mgombea wa act mwingine na hiyo ndo itakuwa democrasia ya kweli. Wewe huna hati miliki ya uongozi. Toa fursa kwa vijana wenzio nao walitumikie taifa lao. Una uchu wa madaraka. 2
@
@officialmbeyaone35724 years agoUkishaona mtu aliweza kuamua kupaka mavi sura yake mwenyewe awezi kushindwa kupaka mavi nchiyake. 2
@
@allysaidy42804 years agoKumbe huyu jamaa sio mtanzania hana uchungu na nchi yake kweli ni mcongoman takataka tu mamayooo.
@
@sariahamad56504 years agoAmani itawale tu ndcho tunachozidi kuomba, ay mengne acha yandlee. 2
@
@allysaidy42804 years agoKumbe zitto anaweza kuunga mkono ndoa za jinsia moja amepinda sana huyu jana nini anataka haswa zitto? 1
@
@ashapearubart26244 years agoKwahiyo wewe una watuma watoto wa bebe mimba. Ili wapate matunzo kutoka serikarini. Wewe kubali 2.
@
@asadkissensi63284 years agoNani kaona kama zito anasura mbaya kama nyani gonga like lako hapo kama umeona.
Related videos for 'Upinzani umekuwa ukishinda uchaguzi, lakini hatupewi nafasi ya kuiongoza Tanzania' Zitto Kabwe.:
a. R. Msimbazy. ...Expand
na wasio kufamu
ni wale asilimia 1%
kwa sababu ndio walio nufaika. Nk. 1