@hamedabashir93 years agoMie pia napenda sana hiyo kityu inshallah ndoto yangu itatimia inshallah kher. 7
@
@rahmaluziga48213 years agoVery bright woman ooh lord bless more and more this woman. 2
@
@priscahzebedayo29173 years agoDada nakupenda zaid ckuwa najua sura yako ila jina kubwa. 4
@
@aoman52143 years agoDah pole sana dada na hongera sana kwa kujituma dada. 1
@
@mwanaharusially11 months agoNakupenda sana mwanangu mungu akulinde akufanyie wepesi.
@
@francesmpangwa88012 years agoSister uko vizur sana mungu akubariki saana.
@
@agneschukulukwa15193 years agoWe kiboko umechukuwa vikoi umeshona dela vizuri, nimependa sana. 2
@
@abedkirway86683 years agoKaz zako nzur san dada ila sikuwa nakujua kwa sura jina lako kubwa nilikuwa nalijua. 4
@
@evedianasaile68113 years agoMm nastory naweza tukaungana nikakupa story ya maisha pengine ikawa nitamthilia.
@
@habibtyhabibty8403 years agoNamii naanza kupenda uigizaji nahisi naweza. 1
@
@suzanakipanga7033 years agoLamata huko vizuri sana dada nakupenda sana tu namba zako za simu tunazipata wapi? Na mbaye anazo basi tusaidiyane jamani. 4
@
@olivanooraladin54362 years agoLkn livomfanya frenki akanyoa kawa handsome manshahlla.
@
@ignasbukombe92253 years agoCast nyingine ni noel ndale lamata leah. 2
@
@hassansaul7098last yearNi kweli aliposema madam, dairiketa mzuri ni yule ambae anapenda kuona kitu chake kinaenda vizuri.
@
@joycelucas37410 months agoJaman dada m nakupend sana naomba namba ako please mmi naomba namba ata we mwandishi nisaidie tafadhal namba ake.
@
@winfridadominancy34923 years agoLeo umesema kwakilefu jina lk ndio nikakufaham nakusikia mda mlefu toka nikiwa mdogo watu wawilayan kwetu walikua wakijivunia kua nakijana mtangazazi kalibu kwimba tena. 1
@
@themagadir3 years agoMimi naulizia vipi season 2 ya kapuni? Jamani nimei miss sana i miss scene ya uncle robert and the young boy. 3
@
@stevenabraham3165last yearMaliz movie tumechoka lamata visa haviishi.
@
@dama49953 years agoMm nauliza kuhusu kapuni ndo iliixha ama vp.
@
@happinessalum80633 years agoLamata ni motoo i wish one day nitafanya nae kazii. 8
@
@beautyibrahim84283 years agoAta mm huwa najiuliza kwann yupo karibu na dorah sanaa umeniulizia swali langu. 1
@
@mrsliverpool42353 years agoSky niunge nifanye nae kazi jamani nampenda sana. 3
@
@montanaprime3 years agoKwenye hilo scene ya mahindi kukatwa, kweli drone shot was the appropriate one, yani niliumia utadhani mahindi yalikuwa yangu vile. Hongera sana. 2
@
@khasamentertainment42693 years agoHaha wacha nicheke yani sisi tunaofanya filamu tunapata tabu sana hususan uwe dierector duuh kulia kawaida tu maana unafika mudahususani ukiwa makini na kazi yako. 3
@
@saraenock76003 years agoUwiii jamani we dada nakupenda sana nawish nkikutana nawe nawaka. 1
@
@daynegallis89263 years agoKwani jamani kuna anaejua ofisi yake huyu mama ya lamata village intertainment?
@
@msowamhokole77143 years agoMasako kaishiwa ndio maana umempata kiulaisi.
@
@safiyatheonlything78483 years agoTuliyo nje mtuangalie kwa jicho la tatu mtuwekee youtube. 1
Related videos for Lamata Leah afunguka kuhusu alivyoisuka tamthilia ya Jua Kali, Dorah, penzi la Kajala na Harmonize: