Mbunge wa Jimbo la KaweJijini Dar es salaam Askofu Josephat Gwajima amependekeza kuwepo na Mkakati wa Nchi kama Dira ya Kitaifa ambayo itaweza kufuatwa kama Dira ya Taifa kwa Kila Kiongozi kwenye Utawala wake (Rais) kusimamia kama Vipaumbele (Priorities) badala ya Kila Rais kuja na Dira yake pale anaposhika hatamu (Madaraka.
Akichangia kwenye Bunge la Bajeti kwenye Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Gwajima ametoa mfano wa Tawala zilizopita Nchini Tanzania kuanzia Awamu ya Kwanza (Mwl Nerere), Awamu ya Pili (Mzee Mwinyi), Awamu ya Tatu (Hayati Mzee Mkapa), Awamu ya Nne (Mzee Kikwete), Awamu ya Tano (Hayati Dkt Magufuli) na sasa Mama SAMIA sULUHU hASSAN
SUBSCRIBE HAPO JUU
tembelea WEBSITE YETU
https://bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
https://www.instagram.com/bmtvtanzania
FACEBOOK
https://www.facebook.com/bmtvtanzania
TWITTER
https://twitter.com/bmtvtanzania1