Kupitia video hii unakwenda kujifunza kwa kina kuhusu tatizo la Presha na jinsi ya kujitibia tatizo hilo ukiwa nyumbani kwako.
..........................................................
Contact Us : +255676298270
-------------------------------------------------------------------------------
E-mail : toptenherbs@gmail.com
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram https://www.instagram.com/toptenherbs
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook https://web.facebook.com/toptentanzania
---------------------------------------------------------------------------------
Website https://www.topten.co.tz
-----------------------------------------------------------------------------------
@rosemarry12742 years agoHello doctor, thanks for sharing wonderful recipe. Am praying for u.
@
@CatherineKabelege-te3yo7 months agoDocta mm nakupenda sana natamani kila siku niwe nakusikiliza.
@
@maalimhussein88074 years agoAllah akufanyie wepesi katika kazi zako na akupe umri mrefu wa afya njema kabisa. Aamin. 14
@
@fatmaissa83434 years agoNashuru sana kwa ushauri na tiba zako nzr. Mungu afya njema nguvu na akupe moyo wa upendo. 6
@
@lucymkenda40224 years agoAsante sana kaka endelea kueleza somo zuri sana. 3
@
@rizikinash82214 years agoAsante, kakanaikubali sana, sasa nikohatakama, hawasemi. Asante. Nilikuwa, natatizo, la. 1
@
@chrispinamgala78164 years agoThank for your nice health education b blessed. 1
@
@aminahussein63034 years agoDr samahani mimi matiti yananiuma sana. 5
@
@jonaskitiga91914 years agoNi nini chanzo mapigo ya moyo kwenda mbio? nini matibabu yake. 16
@
@laurentkabembo69423 years agoAsante sana docta. Mungu pia aku bariki.
@
@kawtharalbarwani13372 years agoAsante doctor kwa mafundisho wakakat mungine tunaogopa tunaona ni ugonjwa.
@
@emanuelnonko8980last yearAsante sana brother naamini kazi unayoifanya ni ya mungu amekutuma kuokoa jamii ilofungwa kwenye utumwa mbaya sana wa madawa ya kemikali yanayouhalibu. ...Expand
@
@marynjenga4803 years agoThank you daktari. Please teach on how to treat ugonjwa wa kisukari naturally. Looking forward. Thanks. Napenda mafundisho yako. 1
@
@kuruthumushabani9535last yearAsante san doctor leo umenipa nguvu mpya.
@
@timeomar4422last yearAsante mkufunzi umenipa nguvu allah akufanyie wepesi mambo yako.
@
@mankasindato78963 years agoDuu. Asante dr. Hii wengi tunaharibu hapoo. Ila ili la kulalahuwa na mimi malipendaga bila kujua kumbe nina pataga tiba.
@
@marrychelesi5742 years agoAsante sana doctar naanza sasa hivi nitaleta mrejesho.
@
@melinafesto56864 years agoHongera sana doctor nimekuelewa sana mungu akubariki sana. 3
@
@vascobenedict4884 years agoAsante sana doctor mamdogo wangu amesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na presha kwa miaka zaidi ya saba, baada ya kupata somo hili nikamwelekeza atumie. ...Expand10
@
@lacksonmwakanema67993 years agoAsante mtaalam, nimekuelewa sana. Asante sana.
@
@salomeomashibo19713 years agoHongera sana kuniondolea hofu barikiwa.
@
@sadikielkombe91173 years agoAhsante sana kaka rashid kwa elimu unayotoa.
@
@amadirispa83824 years agoAsante sana muunguzi kwa mafuzo yako game nipa moyo sana ubarikiwe kwa wingi karibu.
@
@naiisrael29532 years agoAsante sana mno. Mungu akubariki sana.
@
@hebronsdaughter16613 years agoDuh asante sana hakika umeokoa wengi barikiwa.
@
@neemanavaranaa46724 years agoJe izi vidonge vya ferrous sulphate + folic acid table kwa mjamzito vinasaidia nn na vinamadhara gani please dr. 2
@
@godwinmwasamila5337last yearNjooni ni kweli maji siku tatu ni kiboko siku ya pili tu miujiza unatokea imani bila matendo imekufa,
@
@segolinetingo29164 years agoMi dr nina pressure ambayo juzi nimepima ipo 152 kwa 110. Mwanzo ilikuwa mpk 280. 6
@
@COMEDYMPYATV2 years agoHabari za saiz doctor, mbegu ya parachichi unaweka kiasigani kwenye uji na unachaganya kwenye uji wa ulezi au wa unga wa mahindi pia sukari unaweza ukaweka.
@
@mickyomary52154 years agoAsant dr hakika wewe nimkomboz wawatu mungu akubariki. 2
@
@alisaid32513 years agoNapenda sana kuskia pressure, kua c ugonjwa. 1
@
@zulfahzubeir53102 years agoJaman mm presha yangu hailewek mara juu mara chini haielewek kabisa. 1
@
@neemanyomeye34053 years agoAsante sana kwa kukutufanulia maana hata mimi nina tatizo hill.
@
@ntakiruta41604 years agoAsante sana doctor, kila kitu chote unakifahamu! Ongela sana.
@
@annefidelis69314 years agoDr tunaomba utuambie nini tiba ya menopause? Lile jasho linatibiwa na nini lipungue? 1
@
@janetndanu70774 years agoDoctor hio dawa ya kuweka kwa uji nitaweka kiasi gani?
@
@felisterlyanzile80374 years agoDoctor ubalikiwe sana maana naelimika mno.
@
@franciskajessy44682 years agoWewe ni dr mzuri wengine wanaogopesha unaelezea vizuri. 1
@
@careencharlescharles97494 years agoKweli kabisa hata mimi nilipata ya chini na mwili wangu mdogo sana nikapewa dawa za kuongeza damu uko sahihi.
@
@naomijovin69602 years agoDoctar samahn me nina shida ya kushi2ka shituka h inasababisha na nini?
@
@joyel49542 years agoShukuran doctor, tusaidize namba zako kwakweli.
Related videos for Ukweli kuhusu tatizo la BP na matibabu yake:
nini matibabu yake. 16