@judydickens83053 years agoBlessings from god continue to be with this family. 10
@
@hassanovajunior69723 years ago4g you' re the man of the match, masha allah they' re so cute wallah. 5
@
@ummesaniyah3 years agoFuraha kwa kweli watoto wanne. Allah awaongoze na kuwalinda. Allah awape wazazi wote watafutao watoto wema. Amen. 12
@
@yasimxyz28803 years agoNimependa sana naminaomba mungu anibaliki watoto kamahao. 7
@
@rodahjepkemoi79383 years agoWhat a blessing is this? Wish to have twins nitafurahi sana. 2
@
@salhamrisho81383 years agoAllah anijaaliye namiye nipatemaboork ongeraah mnooh allah akujaaliye malezi mema na wakue katika misingi ya dini. 50
@
@mabyserolouchcraig24313 years agoMashallah mola anijalie na mm mapacha. 15
@
@charleskuyeko16603 years agoHongereni wazazi kwa baraka kubwa za watoto mapacha. Mungu ni mwema sana. Mshukuruni sana mungu kwa hilo na mwombeni awaongezee mara ndugu kuwe na timu. ...Expand2
@
@aminatundondege93843 years agoHongera wazazi, halafu wawili wamefanana na baba, wawili wamefanana na mama. Mungu awajalie afya. 9
@
@fetyalmasi89163 years agoEeh mwnyz mungu anijaalie na mie nizae watoto wanne inshaallah. 6
@
@angelfaustine2832 years agoEe mungu naomba kwa iman nijalie watoto wa nne wakike nawakiume amen. 2
@
@judithmelvinealuchio89683 years agoMungu awazidishie maisha mema yenye baraka watoto supuu sana. 8
@
@damariszuckschwert94893 years agoInapendeza wanavyowalea pamoja wakiwa baba na mama. Siyo wababa wale hewa wanatoroka. The guy is the kind of father' s needed. 14
@
@phillsnafuna59623 years agoMungu nisaidie nami nipate mapacha jameni. 4
@hameesabdalah37803 years agoNaomba pia m. Mungu amjalie mke wangu nanah mapacha 4. 1
@
@thobiethalibutu14653 years agoNamtukuza mungu kwaajiri yenu. Nimependa baba 4g anavyo wajali familia yake, jamani raha mama milka nawapenda sana may god blec all. 3
@
@manungda99553 years agoHuyu jamaa anajua kuuliza maswali safi sana bro keep it up, hongereni sana kwa kuwakuza na mungu awabariki afya njema muwalee watoto wengu. 4
@
@halimamremi53752 years agoMashaallah! Mungu akukuzie inshaallah! Na mungu awape na watoto wetu inshaallah! 1
@
@simoniandrew12733 years agoJamn hadi raha wish sana mapacha. Mungu awabariki sana. 1
@
@saumusalimuhassan24993 years agoMashallah, allah nijaalie na mimi mume mwema na anibariki mapacha. 5
@
@costantinokiluwa9859last yearHongereni jaman ee mungu nijarie nami japo wawir 2.
@
@maimunaali17313 years agoMasha allah mungu atukuzie awaondoshee hasada na husuda za walimwengu inshaallah. 1
@
@shamsajafary94403 years agoMashallah mwenyez mungu anijalie mapacha. 2
@
@Noah-se3ni3 years agoKwahapo mlipo wafikisha nimalezi bora ongereni sana baba na mama. 7
@
@chichi-gp4ss3 years agoUshauri: naona hao watoto wabrand kwa sababu they are unique kwa kuzaliwa wanne. Lbd muwe mnaonyesha maisha yao how hard kwa mama kuwalea ili watu wawafwatilia. ...Expand15
@
@user-td2yp8ml6m10 months agoMungu nina mimi nibariki nipate uzao wa pacha.
@
@officialpriscillakiloko98113 years agoEsko una baraka za mapacha mashallah mungu walinde. 3
@
@hawamusumba4313 years agoMay this blessed relocate my house in jesus name.
@
@thuwaibaabdallah68803 years agoMashaallah mungu awaeke namuomba mungu na mm anijaliye mapacha. 1
@
@nikolatanolas44883 years agoEe mungu nijalie nami safalihii nipate kama awa. 3
@
@gracemima52343 years agoNawapongeza sana kwa kuwa na uhusiano mzuri kwa kushirikiana na kulea watoto wenu vizuri. Naomba namba yenu niwatumie chochote nilicho nacho kuwaunga mkono. ...Expand4
@
@khaulatmohammed37653 years agoMa sha allah awajaalie maisha mazur sana. 2
@
@auntdorah91412 years agoMungu awaguse wenye moyo na uwezo, wasanii wakubwa kama diamond kiba harmonize wema sepetu na waimbaji wa nyimbo za injili wawasaport hawa watoto. Hii na kumsaport huyu baba katika kazi yake. kwa kupitia kutoa mungu hutuzidishia baraka. ...Expand
@
@severajackson35843 years agoEee mungu naomba na mimi unijalie na mimi nipate mapacha wa 3.
@
@venahsithole64633 years agoMungu acha aitwe mungu -hongera sana baba na mama 4g. 1
@
@ladymuna49453 years agoMashaallah. Allah awaekee wana wenu in sha allah. 1
@
@saadaalhabsi25172 years agoAllah akupe kheri na baraka akujaalie rizki kama alivyo kupa vipacha.
@
@Leahmjohn3 years agoMungu awatee watoto wazuri, hongereni sana.
@
@agneskadzo61053 years agoUr blessed lady. Mungu akulinde na ailinde family yako. 6
@
@babyhamisi53313 years agoMashaallah tabarakaallah nywele zao zina afya. 15
@
@jacquelinefrank42063 years agoAmen mung u aje kunijalia mapacha pia ameen.
@
@mamunote35073 years agoMashallah m. Mungu awakuze wawe watt wema ameen.
@
@rachellaiza77793 years agoHongereni sana wawili wamefanana na baba na wawili wamefanana na mama.
@
@jobrameki9933 years agoE mungu nijalie na mm nipate furaha ya mapacha kama hawa. 1
@
@janemsamati67003 years agoMimi mwenyewe ni pacha ila hongereni sana kwa zawadi hii, mungu awabariki sana wazazi hao na watoto hao, nawapenda sana. 1
@
@aminamlete79683 years agoAdi raha mungu anipe na mimi inshallah. 2
@
@zuhuranassoro7913 years agoOngereni sana jaman. Naomba namm m/mungu anipe mapacha wawilia au watatu. Amiina. 2
@
@hameesabdalah37803 years agoM. Mungu awaongoze wtt hawa kwenye kuijua dini ya allah.
@
@FatmaFatma-kt1or3 years agoMashallah namuomba munqu anijalie mwaka mwenqine nilete.
@
@thelionwomen49703 years agoMwenyezi mungu ni mwema saana kweli dada leo unafurahi na watoto wako.
@
@priscajohn60903 years agoHongera sn mungu na mi ikifika siku naomba.
@
@pillynoby42493 years agoHee mungu na mm nijaarie mapacha natamani sana mapacha. 1
@
@georgiarugaika34613 years agoWaoooh mungu wabariki bariki matumbo ya kina mama wote. 12
@
@eshyndibalema15293 years agoWatoto ni faraja mwenyezi mungu akukuzie.
@
@nurainimohamed44302 years agoEsco maa shaa allah umeweza kuwatembelea mapacha wangine wa nne.
@
@mwanakhatibu37223 years agoMashaallah mwenyez mungu nijalie mume bora namm niwe mke bora naunijalie kizazi bora nimeona hiyo family nimetamani ndoa. 9
@
@salehnassor89803 years agoMashallah wtt wzr allah awakuze makuz mema.
@
@mauajames46703 years agoJaman wamependeza, mungu namimi wajua haja ya moyo wangu naamin utatenda.
@
@esthermuthoni37633 years agoJamani rahawazazi wenzangu. Naomba sana mungu anitunuku angalau mapacha tu. Nina uja uzito ya wiki tatu. Much love from kenya. 9
@
@rehemamasoud36873 years agoJamana baba 4g. Umekuza kk mungu akubarik ukiruda mara 2. 2
@
@neophithasevelin14313 years agoOngera sana mungu wasaidie watoto wenu wawe na afya njema.
@
@aminamlangida8693 years agoEee mungu nami nibariki mapacha wanne inshallah. 2
@
@ukhutfatumah11549 months agoDaa baba ana saut nzuli. Ya kuimba hongera sna baba 4g.
@
@mussamohd59493 years agoMungu aniajaalie na mm maxhallah mung awawek.
@
@lucyjossy3863 years agoMapacha ni baraka kutoka kwa mwenyezi mungu.
@
@munatwalib28083 years agoSi ufundi ni fungu kaandikiwa na mwenye ezi mungu, allah awahifazi na awakinge na macho ya mahasidi. 5
@
@fatumamakungu29423 years agoMashaa allah kheri nawatamani tena nawapenda watoto mapacha. 2
@
@khdigahk42463 years agoDd walee mpaka wawe wali ndoubebe ujauzito mwengine kuwaona apo laha saana lkn kz iliopita c ndogo mungu akubariki saana da sofia.
@
@nyamkamawanjara293 years agoE mungu naomba na mimi mapacha hata zaidi ya hawa napenda na ninahitaji. 10
@
@marymurungi12543 years agoAmbia baba aanze kuimba na wanawe. Mungu atamfungulia milango.
@
@cheiknamouna20583 years agoMmejitahidi mno mnahitaji pongezi kubwa sana kuwalea watoto wa 4 ni kazi mmoja tu anatushinda.
@
@annahgasper25493 years agoWaoo mungu wape maisha malefu nayenye baraka tere kuzaa nimajaliwa dada kwakweli usimuache munguu mtangulize mungu.
@
@faudhiasalum7279last yearHongera sana mimi ni kizaa wa 4 lazima serikali ihusike hapo maish yenyewe mtihani. 1
Related videos for NI MIUJIZA: Mapacha Wanne wa mfuko mmoja watakushangaza, huumwa na kulia pamoja ''watu waliogopa'':
kwa kupitia kutoa mungu hutuzidishia baraka. ...Expand