Kwenye mitandao ya kijamii kuna trend nyumba ya kifahari ambayo inasemekana msanii Diamond Platnumz amemnunulia mzazi mwenzake Hamisa Mobetto.
For more Entertainment News and Updates Watch Refresh on Wasafi Tv Every Monday to Friday, follow us on Social Media:-
Instagram: @WasafiTv
Twitter: @WasafiTv
Facebook: @WasafiTv
or
Intagram: https://www.instagram.com/wasafitv
Facebook : https://www.facebook.com/wasafitv
Twitter : https://twitter.com/wasafitv
@lashymreal65556 years agoGod bless Diamond and give him more gd dady 5
@
@sophiahmedza9296 years agoWow. Dylan cute bby. May God protect you bby 6
@
@hopechidera6 years agoKumbe mama Mobeto ana mwanya nzuri hivo😍💓 4
@
@fatumahengo68496 years agomashaalah nzuri nyumba yako Dylan mungu akuepushe na hasadi za watu 44
@
@jasminetesha82256 years agoHarooooooo. Bibiiiiiiiii njoooo uone watu navibabu vyao mambo ni fire💪👏👏👏misaaa siofunguo tuuu waambie nachmba cchake kipo wakafie mbele 3
@
@aishaelias68266 years agoHuyu dylan anaonekana atakua kitombi kama shemeji wetu diamond,,am happy for this boy Dylan love you hansome 2
@
@estherhaloim14966 years agoHapo safi. May God bless them all. Wenye wivu wameze Wembe 👍👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿🥂🥂🍾 1
@
@dashuusaalim88826 years agoMashallaah kwel rizq man tashhaa.u mwaka wa mia huu naesabu mabanda ili angalau npte hela ya sabuni aaah waaaap hadi xaxa naendelea kuhastle..... Dyllan mtt mdogo anamilik duddee hlo Allah ampe maysha marefu aje aishughulikie nyumba yke. Aaamiin na sis pia mungu atufungulie rizki zetu. Allahumma aaaaamiiiin ...
@
@majaliwagessler44436 years agoWell done ,wako wapi wale wenye gere na hamisa mambo ndio hayo 🤗 5
@
@ftmat28056 years agoKweli damu mtu haipotei inshallah mungu amzidishie dai nakufanya mema. 6
@
@shamilamct54426 years agoMashallah 😃 😍 👍🏽mabruuk 😍😘😘👏👏mashalla mola awabarikieni inshalla
@
@Joze-ko9he6 years agoWaooooooo big up diamond goodwe ar happy 1
@
@lameesrashdi12986 years ago🌺🌺🌻🌻🌹🌹Hamisa.mondi. Nawapenda. Bule 👌💓💓💓
@
@hopechidera6 years agoHamisa hajanunuliwa nyumba,kanunuliwa Dyllan😚 3
@
@daudimwamghunda64856 years agoYes. That's how it should be. Big up @diamondplatnumz 1
@
@tarisilamushi27986 years agoasante mama.usikubali kujiweka kwenye mitandao sana. 2
@
@nabintukadende23886 years agoHongera big boss.. lea mwanao baba u never know about tomorrow.. courage 👏👏👏
@
@kazamoyo76316 years agoNmpenda mama mobeto kwa busara zake. Safi sana mama na mwana na mjukuu. Mungu awape maisha elfuuu
@
@uwimanauwimana55196 years agondomana hamisa anachukiliwa sana anayo nyota yenye mustakabal 👍👊 3
@
@saidkhamis31136 years agoNampenda huyu mama hua simpodaji ni mkarimu...I love you mom
@
@hunysora82066 years agoYou made it gal.....Hamisa uko juu tu sana
@
@mwanaali75666 years agoasantee sana diamond kwaku mjali mzaz mwezako
@
@zawadihalahala61936 years agoSafi sana mama mobeto nakupenda sana unaga ndio mana hamisa umemlea vizuri
@
@Joze-ko9he6 years agoMaskini si bora diamond anampenda huu myoto katengwa nawote alhamdulilah diamond mungu akulipe vizuri
@
@sharifaismail19366 years agoShe looks polite da way she talks MashaAllah
@
@maulidally55786 years agoNasibu uko vizr, mijengo mzri, maisha mazuri na hii kwasababu ya jitihada zako nzur ( keep it wcb)
@
@najma32686 years agoUnawajibu vzr kweli. Hata funguo anayo hapa ni myumbani kwakwe 🙏 19
@
@ruqaiyahali80556 years agoMashaallaah ringa hamisa we 👌😁😁💞💞💞😍😍💋💕
@
@timelessbeauty56776 years agogood job Diamond ....wape mahasidi nafasi waongee tu mchana na usiku watalala 1
@
@tatuomar41646 years agoila mama mobetto mumewako si kwamakofi hayo we deeylan unaanza kuwapiga mapema wake zako 19
@
@happypius93606 years agoleila iddy hakuna uchawi hapo ww unakionaje kiono cha Hamisa utamfananisha na bibi Zar🙌 9
@
@mummyomoze2426 years agoHongera mama Kwa kumuheshimu mkweo, kweli nimeamini simba hapangiwi pori akiunguruma wanyama Wote kulala 4
@
@fababindawood58426 years agoSafi sana simba kwa kumjali mwanao.jaman nyumba hajanunuliwa hamisa ni ya mtoto waweza kuta document zote anazo baba yke na mwanasheria anajuwa kila k2 3
@
@fatumadjumbe25516 years agoMama Daimond kafanya vizuri kukufukuza kwake ndomana daimond kakununulia yako mama Ili awe ana kufata hukohuko hongera mwanamke
@
@zainabualtz14556 years agoMjuukuu ndo kitenga uchumi😁😁😁 Mungu nipe maisha malefu😪😪😪 4
@
@azezhgalb60696 years agohongera hamisa warudi kusem tena tuune
@
@sunshine146926 years agoadverts are way too much,it gets annoying after you watch the main contents that you intended to watch then you think its a brief advert to more parts of the story then boom the remaining seconds are just unnecessary whom it may concern kindly check on that. ...
@
@yohanamsafii34046 years agoShimo limetema km unaikubali hii family plz gonga like hapa
@
@saumuhassan13656 years agoNilitukanwa kisa hamisa, na bado sasa wenye wivu wajinyonge kwa uzi👌 😂😂😂😂 , ndio maana nakupenda Baba Dylan mnyonge angalau na yeye. 12
@
@alibell52463 years agoMlango uko wazi hongera mama diamond oa bac jmn dah
@
@lightsomi2106 years agoKwendeni uko na unafiki wenu awe kanunuliwa au kakodishiwa nyie kinawahusu nn mwacheni amisa aleraha jamani kwa uchunguwake aloupata pindi anamzaaa mwanae, kama na nyie mnataka taften vi bwana vywenye pesa vitawahonga tu mkitafta wa mia na hamsini mtaishia kuwachamba wenzenu kumbe wanaishi ghorofani na gari wamepewa ...4
@
@tabuabdallah10236 years agomashallah ina pendeza mond mungu amzidishie kilalenye kheri nae inshallah 2
@
@amirsab11586 years agoMimba ita zaliwa pacha na majumba nayo yazidi kuja mashalla waonyeshe mama 2
@
@samanthaali8736 years agoBahati ya mwenzio kweli usilalie mlango wazi dully hongera nakuona mwenywe apiga Bibi yake penda mm ww bby Dully😂😂😂👌 2
@
@emmabays99636 years agowabongo mavi kitambarani nyoooooh nabado 7
@
@jeanmalilo73346 years agoGonga likes hapa kwa hamisa kumloga mondi
@
@zayanazayana53536 years agoJamani mekup zinadanganya sometimes huyu mama Hamisa kumbe hio ndio Hali Na mkorogo umekolea mi nlidhan mweupe 1
@
@ezapesambili29026 years agoDiamond uniachaga njia panda Mimi yani ukisema nanua nyumba inashukaa BG up brother
@
@maryammarym44376 years agoMambo ni motoo wenye wivu wakajinyonge 25
Related videos for Huu ndio Mjengo wa Kifahari HAMISA MOBETTO alionunuliwa na DIAMOND PLATNUMZ:
Ili awe ana kufata hukohuko hongera mwanamke