Mahitaji :
Vermicelli - 1 pkt/180gms
Samli - Kjk 1 1/2 Kikubwa
Sukari - Vijiko 2 1/2 mpka 3
Hiliki ya unga robo kijiko
Zabibu kavu - kiasi
Baadhi ya viungo vengine kama
utapenda ni - vijiti vya mdalasini, lozi na Vanilla
@ashuramutwe39215 years agoMashaallah! Tambi za kukaanga ni tamu sana! 2
@
@zainabawadhabdallah38226 years agoAsalam aleikum ukhti. Mimi ni mmoja katika fans wako naomba utuletee pishi la kisra kutumia unga wa mchele. Allah akuhifadhi kwa kazi yako njema unayo tuletea. 4
@
@khadijambuta43606 years agoShukrani ddaty leo in shaallah nitapika.
@
@aliceuwera59844 years agoMansha allah nafurahiya sana allah akupe kila lakheri sister.
@
@hailinhelen46754 years agoMmhh tamu asante saana kwa mafunzo bora.
@
@Crabtree18446 years agoNice! Hivi sasa naja kwako, ukisikia nabisha mlangu ufungue dada! 2
@
@dorisandfarook7 years agoWow! Napenda sana tambi za kukaaga, asante. 1
@emanuelissaya10797 years agoNimependa hizo tambi wkend hii ntajaribu kutengeneza. 1
@
@ummukulthumhafidh65997 years agoAssalamusanaa and we love u so much sis may allah protect u and ur lovelly family aamin.
@
@mwanaishambili2417 years agoKaribu ma naona ulikuwa wafunga cta na kupumzika kidongo shukran kwa pishi la leo.
@
@asiaissa54316 years agoHabari my dada aroma nimeangalia sijaona hivyo viungo vya mchuzi wa nyama ya ngombe.
@
@verynicemkaro71167 years agoJe waweza tumia tambi za kawaida zile nene.
@
@muhmahahmshaibrahim31097 years agoAssalam alaykumtunashukuru umerudi salama. Asante kwa tambi kwani ni chakula kitamu naasante. 1
@
@fatihiasalim87534 years agoNzuri sana hizi tambi, ila kama una maziwa ni vizuri zaidi ukiweka maziwa badala ya maji, pia zinakuwa na ladha muhimu ziivehbbty.
@
@salhamm7427 years agoAsant sana mung akubarik tuletee tena keki disain nyengin. 3
@
@ashaahmed13537 years agoShukraan for reminding me aboutfor long tym. Leo friday will make it inshaallah. 1
@
@aeshaha87707 years agoSawa maa naulizaje kwa fb pia unaweka video mana uku saudia kuna wi-fi za bure tatizo maa nikirudi nyumban nitakupataje kiuraisi.
@
@BillysFamily7 years agoNitajaribu kupika tambi za kukaanga siku moja. Jee nimuhimu kutumia samli mana sina. 1
@
@ansilaburra75287 years agoDuh! Vyakula vyako vitamu dada, what time is the lunch? I would like to join you. 3
@
@maralsaally42534 years agoAssalam alykum badili ya maji naeza tia nazi? Au maziwa?
@
@fatumabadi87 years agoShukran sana naomba kujua kupika chauro. 1
@
@husnanoor13687 years agoJe naweza tumia butter kama samli sina @aroma.
@
@haronelisha47997 years agoJe naweza hata kupikia tambi za saintalucia?
@
@asabraabdulah11307 years agoAssalam alaykum. Habibty baadala ya maji huwezi ukaeka tuwi la nazi? 1
@
@ramlamohammed19344 years agoAssalam alaykum mm nataka kujua kupika faluda.
@
@Juhie_5 years agoTambi za kolsons pasta unaweza pikia vileja vya tambi?
@
@mariammust82107 years agoKama sina samli naweza tumia mafuta ya kawaida?
@
@haronelisha47997 years agoNi za wheat flour, semolina na durum. Izo ndo ingedients zake.
@
@swabriali45834 years agoKwa utamu huu kwa nini nisiwe kibogoyo kwa kupenda sukari.
@
@nahidabanuadam44556 years agoRecipe ya tambi za znz napikwa na nazi.