#Samatta #TaifaStars #Tanzania #Burundi
Nahodha wa timu ya taifa "Taifa Stars" Mbwana Ally Samatta, @samagoal77 amewasili nchini alfajiri ya leo akitokea nchini Uturuki kwa maandalizi ya mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa katika uwanja wa Mkapa siku ya tarehe 11 Oktoba, 2020.
#vambatv_updates