Duration 8:48

Lifahamu Jiji la Madrid, Jiji Lenye BUSTANI nyingi zaidi, Lililo jengwa na wafalme wa enzi hizo.

1 200 watched
0
23
Published 13 Mar 2021

Madrid ni mji mkuu wa Hispania pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi 3,129,600. Jiji hili linasifa kama:- - Moja kati ya majiji yenye Bustani nyingi na nzuri - Lina majengo ya kale yenye kuvutia yaliyo jengwa kwa ustadi mkubwa - Viongozi wake hususani wafalme wa enzi hizo walipenda sana majumba ya kifahari - Nchi inapakana sana na Bara la Africa katika nchi ya Morocco. Ungana na msimulizi katika kupata maarifa zaidi:- Usisite Ku-Comment na Kushare, pia ku-like. - Facebook: https://web.facebook.com/nianimaarifa� ��​ - Instagram: https://www.instagram.com/nianimaarifa/� �� - Youtube: /c/NIANIMAARIFA

Category

Show more

Comments - 1